Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Fedha na Mipango

Tume ya Pamoja ya Fedha

JFC Logo
Dira na Dhima

Dira

Kuwa Taasisi yenye Utaalamu wenye Weledi katika kusimamia Uhusiano wa Kifedha kati ya Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili kuimarisha Muungano wa Tanzania.

Dhima

Kutoa Ushauri wa Kitaalam kuhusu Uhusiano wa Kifedha katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuimarisha na kudumisha Muungano wetu